Odinga: Ni siku ya kihistoria Kenya na kwa Afrika. - Mazengo360

Breaking

Friday, 8 September 2017

Odinga: Ni siku ya kihistoria Kenya na kwa Afrika.



Pichani ni Wafuasi wa kiongozi wa upinzani Raila Odinga jijini Nairobi wamekuwa barabarani wakisherehekea hatua ya Mahakama kubatilisha Matokeo ya Uchaguzi wa Urais leo September 01,2017.

No comments:

Post a Comment