

![]() |
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kigoma Naibu Kamishna wa Polisi Ferdinand Mtuiamesema zaidi ya watu hamsini wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo lililotokea Jana September 4,2017 huku Kaimu mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanali Marco Gaguti ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Buhigwe akitoa wito kwa wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi.
|

No comments:
Post a Comment