LIVERPOOL YAMNYATIA KIUNGO WA ARSENAL. - Mazengo360

Sunday, 9 July 2017

LIVERPOOL YAMNYATIA KIUNGO WA ARSENAL.

Alex+Oxlade-Chamberlain.
Kiungo wa kati wa Arsenal Alex Oxlade Chamberlain.

MENEJA
wa Liverpool Jurgen Klopp anafikiria kumnunua kiungo wa kati toka Arsenal, Alex Oxlade Chamberlain, mwenye umri wa miaka 23, lakini bado kocha huyo hajafikia maamuzi.
Kulingana na taarifa za gazeti la Uingereza la “The Daily Mail” limeeleza kwamba, Jurgen Klopp anahofia huenda kiungo huyo ataweza kufikia kiwango anachohitaji cha uchezaji, hivyo utata bado unamkabili kuamua.
Kiungo huyo mwenye thamani ya paundi 25 millioni, anafukuziwa pia na club za Chelsie na Manchester City lakini, Liverpool ndio inayoonyesha nia ya kumtaka zaidi.

(Habari na picha, kwa hisani ya The Daily Mail).