MWANA MITINDO AWAKERA MAJIRANI KWA KELELE ZA MAHABA. - Mazengo360

Sunday, 9 July 2017

MWANA MITINDO AWAKERA MAJIRANI KWA KELELE ZA MAHABA.

MWANAMITINDO wa Marekani Olga Valerio, mwenye umri wa miaka 49, amelalamikiwa na majirani zake katika jengo walilopanga mtaa wa Bay Ridge, Brooklyn kwa kushindwa kuzuia kelele za utamu anapofanya mapenzi na rafiki yake mwenye umri wa miaka 26.

Mrembo+Olga+Valerio%252C+49+yrs.
Mwana Mitindo wa Marekani Olga Valerio.

Mrembo huyo anaejishughulisha na mambo ya mitindo ya nywele amesema kwamba, anakiri kusababisha usumbufu huo kwa majirani kwani penzi analopewa na mpenzi wake huyo ni la hali ya juu sana hadi kushindwa kujielewa.

Mrembo+Valerio+akiwa+na+mpenzi+wake+Byron+Perez%252C+26
Mwana Mitindo Olga Valerio, 49, akiwa na mpenzi wake Byron Perez mwenye umri wa miaka 26.

Mpenzi wake huyo ajulikane kwa jina la Byron Perez hukutana mara kwa mara katika nyumba (apartment) hiyo alikopanga mrembo huyo, gorofa ya nne na wanapofanya mapenzi, mrembo huyo hupagawa na kupiga makelele ya utamu muda wote na kusababisha usumbufu kwa majirani, alieleza kwa kuona aibu.

Dihiana+Valerio
Bintie wa kwanza Olga Valerio, aitwae Dahiana.

Valerio, ambae ni mama wa watoto wanne ingali mwanae wa kwanza ambae ni binti mwenye umri sawa na mpenzi wake huyo, na pia huishi nae katika nyumba yake, alimweleza mwandishi wa habari hizi kwamba, mwanzo majirani walihisi ni binti yake kumbe lah, ni yeye.
Alisema, “mwanzo nilipolalamikiwa na majirani nilikana na kuhisi huenda ni binti yangu aitwae Dahiana, ndie hua anasababisha makelele hayo anapofanya maigizo na mdoli wake, lakini baadae nikajaafiki na kuomba radhi majirani zangu, alifafanua zaidi mrembo huyo.

MWISHO.