![]() |
Rooney na wachezaji wenzake wa Everton baada ya kuisaidia timu hiyo kuilaza Gor Mahia ya Kenya.
Wayne Rooney aliyerejea Everton wiki iliyopita baada ya miaka 13 tangu ahamie Manchester United amekumbushia kitu alichofanya wakati anajiunga na timu hiyo ya Merseyside kwa mara ya kwanza kabisa alipofunga bao lake la kwanza katika mechi ya kwanza dhidi ya Arsenal mwaka 2002, siku tano kabla hajatimiza miaka 17.
|




No comments:
Post a Comment